Kuna habari ambazo zinaenea kuhusu msanii
kutoka Tanzania House of Talent, Estelinah Sanga maarufu kama Linah
kwamba akiwa kwenye starehe usiku alilewa na kubakwa. Millardayo.com
imeongea na Linah mwenyewe na alikuwa na maneno machache ya kusema kama hivi, “Sio
kweli kabisa ni maneno tu hayo, kuthibitisha hilo ni kwamba siku ya
tatu leo sijatoka usiku na hayo maneo yanasemwa kwamba nililewa usiku”
Home »
STORI ZA WASANII
» Alichokisema Linah baada ya kusambaa kwa maneno kwamba amebakwa baada ya kulewa
Alichokisema Linah baada ya kusambaa kwa maneno kwamba amebakwa baada ya kulewa
Written By Unknown on Sunday, July 21, 2013 | 6:54 PM
Labels:
STORI ZA WASANII
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !